SIMBA YATINGA ROBO FAINALI KLABU BINGWA AFRIKA
Klabu ya Soka ya Simba ya Tanzania imefuzu kwenda hatua ya robo fainali baada ya kuirarua AS Vita bao 4-1 katika Uwanja wa kumbukumbu ya Benjamin Mkapa, Dar es Salaam Simba inakusanya jumla ya alama 13 mpaka sasa na itaongoza kundi A bila kujali matokeo ya Mechi za mwisho
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed